Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Luka 1:78 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 78 kwa sababu ya huruma nyororo za Mungu wetu. Kwa huruma hizo tutapata pambazuko+ kutoka juu,+ 2 Wakorintho 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+