6 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ulipiga makofi+ na kupiga vishindo kwa miguu, nawe uliendelea kushangilia kwa dhihaka zote ulizokuwa nazo katika nafsi yako juu ya nchi ya Israeli,+
10 Na wale wanaokaa duniani wanashangilia+ juu yao na kujifurahisha, na watapelekeana zawadi,+ kwa sababu hao manabii wawili waliwatesa wale wanaokaa duniani.