4 Sikiliza,+ Ee Mungu wetu, kwa maana tumedharauliwa;+ na uzirudishe shutuma+ zao juu ya vichwa vyao wenyewe, nawe uwatoe waporwe katika nchi ya utekwani.
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.