Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wamesema: “Njooni, tuwafutilie mbali wasiwe taifa,+

      Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”+

  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+

  • Ezekieli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema hivi kuwahusu wana wa Amoni, ‘Sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu umesema Aha! Juu ya patakatifu pangu, kwa sababu pametiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli, kwa sababu imefanywa kuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda, kwa sababu wameenda uhamishoni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki