10 Haya! Na tuwatendee kwa werevu,+ wasije wakaongezeka, na iwe kwamba, vita vikizuka juu yetu, basi hakika wao watajiunga na wale wanaotuchukia na kupigana nasi na kutoka katika nchi hii.”
6 Lakini lilikuwa jambo la kudharaulika machoni pake kunyoosha mkono wake juu ya Mordekai peke yake, kwa maana walikuwa wamemwambia kuhusu watu wa Mordekai; kwa hiyo Hamani akaanza kutafuta kuwaangamiza+ Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wote wa Ahasuero, watu wa Mordekai.+