Zaburi 105:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+ Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+ Matendo 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huyo akatumia hila ya serikali juu ya jamii+ yetu na kulazimisha kimakosa akina baba wawatupe watoto wao wachanga, ili wasihifadhiwe hai.+ 1 Wakorintho 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”
25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+
19 Huyo akatumia hila ya serikali juu ya jamii+ yetu na kulazimisha kimakosa akina baba wawatupe watoto wao wachanga, ili wasihifadhiwe hai.+
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”