Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 105:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+

      Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Matendo 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Huyo akatumia hila ya serikali juu ya jamii+ yetu na kulazimisha kimakosa akina baba wawatupe watoto wao wachanga, ili wasihifadhiwe hai.+

  • 1 Wakorintho 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki