Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+

  • Waamuzi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Egloni mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na minane.+

  • 2 Samweli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+

  • Zaburi 83:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mahema ya Edomu+ na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki