Mwanzo 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+ Waamuzi 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Egloni mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na minane.+ 2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+ Zaburi 83:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mahema ya Edomu+ na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+
37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+
2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+