29 Na wakati huo wakapiga Moabu, karibu wanaume elfu kumi,+ kila mmoja akiwa ni mwenye nguvu+ na kila mmoja akiwa ni mwanamume shujaa; wala hakuna hata mtu mmoja aliyepona.+
47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+