Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ Zaburi 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+ Zaburi 108:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Gileadi+ ni yangu; Manase+ ni yangu;Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;+Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+ Zaburi 110:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:“Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+ Waebrania 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+
8 Gileadi+ ni yangu; Manase+ ni yangu;Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;+Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+
2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:“Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+
8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+