Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele;+

      Fimbo ya enzi ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.+

  • Zaburi 108:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Gileadi+ ni yangu; Manase+ ni yangu;

      Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;+

      Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

  • Zaburi 110:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:

      “Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+

  • Waebrania 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki