Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+

  • Zaburi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+

      Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+

  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+

  • Mathayo 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Nawe, Ee Bethlehemu+ ya nchi ya Yuda, wewe si jiji dogo zaidi kati ya magavana wa Yuda; kwa maana kutoka kwako wewe atakuja mwenye kuongoza,+ atakayewachunga+ watu wangu, Israeli.’ ”

  • Yohana 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+

  • Ufunuo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! umati mkubwa,+ ambao hakuna mtu aliyeweza kuuhesabu, kutoka mataifa+ yote na makabila na vikundi vya watu+ na lugha,+ wamesimama mbele ya kiti cha ufalme+ na mbele ya Mwana-Kondoo, wamevikwa kanzu nyeupe;+ na kulikuwa na matawi ya mitende+ mikononi mwao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki