7 mimi pia nitawaleta katika mlima wangu mtakatifu+ na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.+ Matoleo yao mazima ya kuteketezwa+ na dhabihu+ zao zitapata kibali juu ya madhabahu yangu.+ Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+
7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.
15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.