-
Ufunuo 7:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 Hiyo ndiyo sababu wako mbele ya hicho kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu mchana na usiku katika hekalu lake; na Yeye aketiye juu ya kiti cha ufalme atatandaza hema lake juu yao.
-