Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ Ufunuo 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+
15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+
3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+