Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita. 2 Samweli 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.” 2 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita.
4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”
16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+