10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
11 Basi Mfalme Daudi akatuma ujumbe kwa Sadoki+ na Abiathari,+ makuhani, akisema: “Semeni na wanaume wazee wa Yuda+ hivi, ‘Kwa nini ninyi muwe wa mwisho kumrudisha mfalme nyumbani kwake, wakati neno la Israeli wote limemfikia mfalme nyumbani kwake?
42 Ndipo watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa Israeli: “Kwa sababu mfalme ni mtu wa karibu wa jamaa yetu;+ na kwa nini mmekasirika kwa ajili ya jambo hili? Je, sisi tumekula kwa gharama ya mfalme, au je, tumepewa zawadi?”