Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.

  • 2 Samweli 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+

  • 1 Wafalme 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki