2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
12Na Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Basi akaja, akaingia kwake+ na kumwambia: “Palikuwa na wanaume wawili waliokuwa katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na yule mwingine alikuwa maskini.