Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+

  • Ruthu 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+

  • 2 Samweli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+

      Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”

  • Zaburi 78:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 Bali alichagua kabila la Yuda,+

      Mlima Sayuni, ambao aliupenda.+

  • Mathayo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;

      Perezi akamzaa Hezroni;+

      Hezroni akamzaa Ramu;+

  • Mathayo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+

       Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki