Ruthu 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+ Ruthu 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+ 2 Samweli 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.” Zaburi 78:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Bali alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, ambao aliupenda.+ Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;Perezi akamzaa Hezroni;+Hezroni akamzaa Ramu;+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria; Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+
4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+ Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”
3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;Perezi akamzaa Hezroni;+Hezroni akamzaa Ramu;+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;