2 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+ 1 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye aliwazaa hawa katika Yerusalemu:+ Shimea+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+ wanne wa Bath-sheba+ binti ya Amieli,+ Luka 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 mwana wa Melea,mwana wa Mena,mwana wa Matatha,mwana wa Nathani,+mwana wa Daudi,+
24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+
5 Naye aliwazaa hawa katika Yerusalemu:+ Shimea+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+ wanne wa Bath-sheba+ binti ya Amieli,+