1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+ 1 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye aliwazaa hawa katika Yerusalemu:+ Shimea+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+ wanne wa Bath-sheba+ binti ya Amieli,+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
5 Naye aliwazaa hawa katika Yerusalemu:+ Shimea+ na Shobabu+ na Nathani+ na Sulemani,+ wanne wa Bath-sheba+ binti ya Amieli,+