2 Samweli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ozemu wa sita, Daudi+ wa saba. Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria; Luka 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 mwana wa Melea,mwana wa Mena,mwana wa Matatha,mwana wa Nathani,+mwana wa Daudi,+ Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria; Luka 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 mwana wa Melea,mwana wa Mena,mwana wa Matatha,mwana wa Nathani,+mwana wa Daudi,+