2 Samweli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku zako zitakapokwisha+ nawe ufe na kuzikwa pamoja na mababu zako, ndipo nitakapomwinua mzao wako* baada yako, mwana wako mwenyewe,* nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+ 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:12 Mnara wa Mlinzi,2/1/1989, uku. 14
12 Siku zako zitakapokwisha+ nawe ufe na kuzikwa pamoja na mababu zako, ndipo nitakapomwinua mzao wako* baada yako, mwana wako mwenyewe,* nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+