-
1 Mambo ya Nyakati 17:11-14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 “‘“Siku zako zitakapokwisha nawe uzikwe pamoja na mababu zako, nitamwinua mzao wako* baada yako, mmoja wa wana wako,+ nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+ 12 Yeye ndiye atakayenijengea nyumba,+ nami nitakiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme milele.+ 13 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Sitauondoa upendo wangu mshikamanifu kutoka kwake+ kama nilivyouondoa kutoka kwa yule aliyekutangulia.+ 14 Nitamfanya asimame katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele,+ na kiti chake cha ufalme kitadumu milele.”’”+
-
-
Zaburi 132:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yehova amemwapia Daudi;
Kwa hakika hatakosa kutimiza neno lake:
-