Zaburi 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+ Isaya 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa uadilifu,+Na wakuu watatawala kwa haki. Yeremia 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+ Waebrania 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*
5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*