Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

      Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

  • Isaya 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa uadilifu,+

      Na wakuu watatawala kwa haki.

  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+

  • Waebrania 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki