2 Samweli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+ Waebrania 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+
14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+
35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+