2 Samweli 7:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ 17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+ Ufunuo 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+
16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ 17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+
15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+