-
1 Mambo ya Nyakati 28:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na kutoka kati ya wanangu wote—kwa maana Yehova amenipa wana wengi+—alimchagua Sulemani mwanangu+ aketi kwenye kiti cha ufalme wa Yehova juu ya Israeli.+
6 “Akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayeijenga nyumba yangu na nyua zangu, kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake.+
-