Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku zako zitakapokwisha+ nawe ufe na kuzikwa pamoja na mababu zako, ndipo nitakapomwinua mzao wako* baada yako, mwana wako mwenyewe,* nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+ 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami nitakiimarisha kabisa kiti cha ufalme wake milele.+

  • Zaburi 89:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Nimefanya agano pamoja na yule niliyemchagua;+

      Nimemwapia Daudi mtumishi wangu:+

       4 ‘Nitauimarisha kabisa uzao wako*+ milele,

      Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme kwa vizazi vyote.’”+ (Sela)

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi;

      Kwa hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mmoja wa wazao wako,*

      Nitamfanya aketi kwenye kiti chako cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki