37 Kama Yehova alivyokuwa pamoja nawe bwana wangu mfalme, na awe pia na Sulemani,+ na Afanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu zaidi kuliko kiti chako cha ufalme, bwana wangu Mfalme Daudi.”+
10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu.+ Atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake.+ Nitakiimarisha kabisa kiti cha ufalme wake juu ya Israeli milele.’+