Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kama Yehova alivyokuwa pamoja nawe bwana wangu mfalme, na awe pia na Sulemani,+ na Afanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu zaidi kuliko kiti chako cha ufalme, bwana wangu Mfalme Daudi.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu.+ Atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake.+ Nitakiimarisha kabisa kiti cha ufalme wake juu ya Israeli milele.’+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nitauimarisha kabisa ufalme wake milele+ ikiwa atazishika kwa dhati amri zangu na sheria zangu,*+ kama anavyofanya sasa.’

  • Zaburi 89:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 ‘Nitauimarisha kabisa uzao wako*+ milele,

      Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme kwa vizazi vyote.’”+ (Sela)

  • Zaburi 89:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Uzao wake utadumu* milele;+

      Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki