11 “‘“Siku zako zitakapokwisha nawe uzikwe pamoja na mababu zako, nitamwinua mzao wako* baada yako, mmoja wa wana wako,+ nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+
16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+