1 Wafalme 1:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kama vile Yehova alivyokuwa pamoja na bwana wangu mfalme,+ basi na awe na Sulemani+ vivyo hivyo, na akifanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu+ kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mfalme Daudi.”
37 Kama vile Yehova alivyokuwa pamoja na bwana wangu mfalme,+ basi na awe na Sulemani+ vivyo hivyo, na akifanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu+ kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mfalme Daudi.”