Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo ninakusudia kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, kama Yehova alivyomwahidi baba yangu Daudi, akisema: ‘Mwana wako ambaye nitamweka kwenye kiti chako cha ufalme baada yako ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+

  • 1 Wafalme 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kuhusu nyumba hii unayojenga, ikiwa utatembea katika maagizo yangu na kutekeleza sheria zangu* na kushika amri zangu zote kwa kuzifuata,+ mimi pia nitakutimizia ahadi yangu niliyomwahidi baba yako Daudi,+

  • Zekaria 6:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe umwambie,

      “‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+ 13 Yeye ndiye atakayelijenga hekalu la Yehova, na ndiye atakayepokea utukufu. Ataketi kwenye kiti chake cha ufalme na kutawala, naye atakuwa pia kuhani kwenye kiti chake cha ufalme,+ na kutakuwa na mapatano ya amani kati ya hivyo viwili.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki