Waebrania 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito* wa mbinguni,+ mfikirieni mtume na kuhani mkuu tunayemkubali*—Yesu.+ Waebrania 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye ameingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumtangaza hadharani.+ Waebrania 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa jambo kuu tunalosema ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu wa namna hii,+ naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+
3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito* wa mbinguni,+ mfikirieni mtume na kuhani mkuu tunayemkubali*—Yesu.+
14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye ameingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumtangaza hadharani.+
8 Sasa jambo kuu tunalosema ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu wa namna hii,+ naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+