Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi;

      Kwa hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mmoja wa wazao wako,*

      Nitamfanya aketi kwenye kiti chako cha ufalme.+

  • Ezekieli 34:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+

  • Hosea 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Yehova Mungu wao+ na Daudi mfalme wao,+ nao watamjia Yehova wakitetemeka na kutafuta wema wake katika kipindi cha mwisho cha zile siku.+

  • Yohana 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Je, andiko halisemi kwamba Kristo atatoka katika uzao wa Daudi+ na atatoka Bethlehemu,+ kijiji alichoishi Daudi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki