Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 2:1

Marejeo

  • +Mwa 32:28; 49:2
  • +Mwa 35:23; 49:3; 1Nya 5:1
  • +Mwa 29:33; 49:5
  • +Mwa 29:34
  • +Mwa 29:35; 49:8; Ebr 7:14
  • +Mwa 30:18; 49:14
  • +Mwa 30:20; 49:13

1 Mambo ya Nyakati 2:2

Marejeo

  • +Mwa 30:6; 49:16
  • +Mwa 30:24; 49:22
  • +Mwa 35:18; 49:27
  • +Mwa 30:8; 49:21
  • +Mwa 30:11; 49:19
  • +Mwa 30:13; 49:20

1 Mambo ya Nyakati 2:3

Marejeo

  • +Mwa 38:3
  • +Mwa 38:4
  • +Mwa 38:5
  • +Mwa 38:7

1 Mambo ya Nyakati 2:4

Marejeo

  • +Mwa 38:11
  • +Lu 3:33

1 Mambo ya Nyakati 2:5

Marejeo

  • +Hes 26:21

1 Mambo ya Nyakati 2:6

Marejeo

  • +Yos 7:1
  • +1Fa 4:31

1 Mambo ya Nyakati 2:7

Marejeo

  • +1Nya 4:1
  • +Yos 7:25
  • +Kum 7:26; Yos 6:18; 7:11; 22:20

1 Mambo ya Nyakati 2:8

Marejeo

  • +1Fa 4:31

1 Mambo ya Nyakati 2:9

Marejeo

  • +Mwa 46:12
  • +1Sa 27:10
  • +Ru 4:19; Mt 1:3

1 Mambo ya Nyakati 2:10

Marejeo

  • +Ru 4:20; Mt 1:4
  • +Hes 2:3; Lu 3:32

1 Mambo ya Nyakati 2:11

Marejeo

  • +Ru 4:21; Lu 3:32
  • +Ru 2:1; Mt 1:5

1 Mambo ya Nyakati 2:12

Marejeo

  • +Ru 4:17
  • +Ru 4:22; 1Sa 16:1; Isa 11:1

1 Mambo ya Nyakati 2:13

Marejeo

  • +1Sa 16:6; 17:13; 1Nya 27:18
  • +1Sa 16:8; 17:13
  • +1Sa 16:9; 1Nya 20:7

1 Mambo ya Nyakati 2:15

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 17:12; Mt 1:6; Ro 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

    9/15/2002, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9; w02 9/15 31

1 Mambo ya Nyakati 2:16

Marejeo

  • +2Sa 17:25
  • +2Sa 16:9; 20:6; 21:17; 23:18; 1Nya 18:12
  • +2Sa 3:39; 8:16; 20:10; 1Nya 11:6
  • +2Sa 2:18; 3:30; 23:24

1 Mambo ya Nyakati 2:17

Marejeo

  • +2Sa 19:13; 20:4; 1Fa 2:5
  • +1Fa 2:32

1 Mambo ya Nyakati 2:18

Marejeo

  • +1Nya 2:5

1 Mambo ya Nyakati 2:19

Marejeo

  • +1Nya 2:50; 4:4
  • +Kut 17:12; 24:14

1 Mambo ya Nyakati 2:20

Marejeo

  • +Kut 31:2
  • +Kut 35:30; 36:1; 37:1; 2Nya 1:5

1 Mambo ya Nyakati 2:21

Marejeo

  • +Mwa 50:23; Kum 3:15; 1Nya 7:14
  • +Hes 26:29; Yos 17:1

1 Mambo ya Nyakati 2:22

Marejeo

  • +Kum 3:14; Yos 13:30
  • +Hes 32:41

1 Mambo ya Nyakati 2:23

Marejeo

  • +2Sa 3:3; 13:38
  • +2Sa 8:6
  • +1Fa 4:13
  • +Hes 32:42

1 Mambo ya Nyakati 2:24

Marejeo

  • +Mwa 46:12; Hes 26:21; Ru 4:18; Mt 1:3
  • +1Nya 4:5; Ne 3:5; Amo 1:1

1 Mambo ya Nyakati 2:25

Marejeo

  • +1Nya 2:9
  • +1Nya 2:27

1 Mambo ya Nyakati 2:27

Marejeo

  • +1Nya 2:25

1 Mambo ya Nyakati 2:28

Marejeo

  • +1Nya 2:26

1 Mambo ya Nyakati 2:30

Marejeo

  • +1Nya 2:28

1 Mambo ya Nyakati 2:31

Marejeo

  • +1Nya 2:34

1 Mambo ya Nyakati 2:34

Marejeo

  • +1Nya 2:31
  • +Mwa 16:1; 1Sa 30:13

1 Mambo ya Nyakati 2:36

Marejeo

  • +1Nya 11:41

1 Mambo ya Nyakati 2:42

Marejeo

  • +1Nya 2:9

1 Mambo ya Nyakati 2:45

Marejeo

  • +Yos 15:58; 2Nya 11:7; Ne 3:16

1 Mambo ya Nyakati 2:49

Marejeo

  • +Yos 15:31
  • +Yos 15:57
  • +1Nya 2:18
  • +Yos 15:17; Amu 1:13

1 Mambo ya Nyakati 2:50

Marejeo

  • +Kut 17:12; 24:14
  • +1Nya 2:19
  • +1Nya 4:1
  • +Yos 15:9, 60; 1Nya 13:5

1 Mambo ya Nyakati 2:51

Marejeo

  • +Mwa 35:19; Ru 1:19; 2:4; Mt 2:1; Yoh 7:42

1 Mambo ya Nyakati 2:52

Marejeo

  • +1Nya 4:1

1 Mambo ya Nyakati 2:53

Marejeo

  • +2Sa 23:38; 1Nya 11:40
  • +Amu 13:2; 1Nya 4:2
  • +Yos 15:33; 19:41; Amu 13:25; 16:31

1 Mambo ya Nyakati 2:54

Marejeo

  • +Mwa 35:19; Ru 1:19; 2:4; Mt 2:1; Yoh 7:42
  • +2Sa 23:29

1 Mambo ya Nyakati 2:55

Marejeo

  • +1Nya 4:9
  • +Amu 1:16; 4:11; 1Sa 15:6
  • +2Fa 10:15; Yer 35:6, 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 2:1Mwa 32:28; 49:2
1 Nya. 2:1Mwa 35:23; 49:3; 1Nya 5:1
1 Nya. 2:1Mwa 29:33; 49:5
1 Nya. 2:1Mwa 29:34
1 Nya. 2:1Mwa 29:35; 49:8; Ebr 7:14
1 Nya. 2:1Mwa 30:18; 49:14
1 Nya. 2:1Mwa 30:20; 49:13
1 Nya. 2:2Mwa 30:6; 49:16
1 Nya. 2:2Mwa 30:24; 49:22
1 Nya. 2:2Mwa 35:18; 49:27
1 Nya. 2:2Mwa 30:8; 49:21
1 Nya. 2:2Mwa 30:11; 49:19
1 Nya. 2:2Mwa 30:13; 49:20
1 Nya. 2:3Mwa 38:3
1 Nya. 2:3Mwa 38:4
1 Nya. 2:3Mwa 38:5
1 Nya. 2:3Mwa 38:7
1 Nya. 2:4Mwa 38:11
1 Nya. 2:4Lu 3:33
1 Nya. 2:5Hes 26:21
1 Nya. 2:6Yos 7:1
1 Nya. 2:61Fa 4:31
1 Nya. 2:71Nya 4:1
1 Nya. 2:7Yos 7:25
1 Nya. 2:7Kum 7:26; Yos 6:18; 7:11; 22:20
1 Nya. 2:81Fa 4:31
1 Nya. 2:9Mwa 46:12
1 Nya. 2:91Sa 27:10
1 Nya. 2:9Ru 4:19; Mt 1:3
1 Nya. 2:10Ru 4:20; Mt 1:4
1 Nya. 2:10Hes 2:3; Lu 3:32
1 Nya. 2:11Ru 4:21; Lu 3:32
1 Nya. 2:11Ru 2:1; Mt 1:5
1 Nya. 2:12Ru 4:17
1 Nya. 2:12Ru 4:22; 1Sa 16:1; Isa 11:1
1 Nya. 2:131Sa 16:6; 17:13; 1Nya 27:18
1 Nya. 2:131Sa 16:8; 17:13
1 Nya. 2:131Sa 16:9; 1Nya 20:7
1 Nya. 2:151Sa 16:13; 17:12; Mt 1:6; Ro 1:3
1 Nya. 2:162Sa 17:25
1 Nya. 2:162Sa 16:9; 20:6; 21:17; 23:18; 1Nya 18:12
1 Nya. 2:162Sa 3:39; 8:16; 20:10; 1Nya 11:6
1 Nya. 2:162Sa 2:18; 3:30; 23:24
1 Nya. 2:172Sa 19:13; 20:4; 1Fa 2:5
1 Nya. 2:171Fa 2:32
1 Nya. 2:181Nya 2:5
1 Nya. 2:191Nya 2:50; 4:4
1 Nya. 2:19Kut 17:12; 24:14
1 Nya. 2:20Kut 31:2
1 Nya. 2:20Kut 35:30; 36:1; 37:1; 2Nya 1:5
1 Nya. 2:21Mwa 50:23; Kum 3:15; 1Nya 7:14
1 Nya. 2:21Hes 26:29; Yos 17:1
1 Nya. 2:22Kum 3:14; Yos 13:30
1 Nya. 2:22Hes 32:41
1 Nya. 2:232Sa 3:3; 13:38
1 Nya. 2:232Sa 8:6
1 Nya. 2:231Fa 4:13
1 Nya. 2:23Hes 32:42
1 Nya. 2:24Mwa 46:12; Hes 26:21; Ru 4:18; Mt 1:3
1 Nya. 2:241Nya 4:5; Ne 3:5; Amo 1:1
1 Nya. 2:251Nya 2:9
1 Nya. 2:251Nya 2:27
1 Nya. 2:271Nya 2:25
1 Nya. 2:281Nya 2:26
1 Nya. 2:301Nya 2:28
1 Nya. 2:311Nya 2:34
1 Nya. 2:341Nya 2:31
1 Nya. 2:34Mwa 16:1; 1Sa 30:13
1 Nya. 2:361Nya 11:41
1 Nya. 2:421Nya 2:9
1 Nya. 2:45Yos 15:58; 2Nya 11:7; Ne 3:16
1 Nya. 2:49Yos 15:31
1 Nya. 2:49Yos 15:57
1 Nya. 2:491Nya 2:18
1 Nya. 2:49Yos 15:17; Amu 1:13
1 Nya. 2:50Kut 17:12; 24:14
1 Nya. 2:501Nya 2:19
1 Nya. 2:501Nya 4:1
1 Nya. 2:50Yos 15:9, 60; 1Nya 13:5
1 Nya. 2:51Mwa 35:19; Ru 1:19; 2:4; Mt 2:1; Yoh 7:42
1 Nya. 2:521Nya 4:1
1 Nya. 2:532Sa 23:38; 1Nya 11:40
1 Nya. 2:53Amu 13:2; 1Nya 4:2
1 Nya. 2:53Yos 15:33; 19:41; Amu 13:25; 16:31
1 Nya. 2:54Mwa 35:19; Ru 1:19; 2:4; Mt 2:1; Yoh 7:42
1 Nya. 2:542Sa 23:29
1 Nya. 2:551Nya 4:9
1 Nya. 2:55Amu 1:16; 4:11; 1Sa 15:6
1 Nya. 2:552Fa 10:15; Yer 35:6, 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 2:1-55

1 Mambo ya Nyakati

2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi+ na Yuda,+ Isakari+ na Zabuloni,+ 2 Dani,+ Yosefu+ na Benyamini,+ Naftali,+ Gadi+ na Asheri.+

3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+ 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano.

5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+

6 Na wana wa Zera+ walikuwa Zimri na Ethani na Hemani na Kalkoli na Dara.+ Jumla yao walikuwa watano.

7 Na wana wa Karmi+ walikuwa Akari aliyeleta taabu juu ya Israeli,+ ambaye alitenda tendo la kukosa uaminifu kwa habari ya kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa.+

8 Na wana wa Ethani+ walikuwa Azaria.

9 Na wana wa Hezroni+ aliozaa walikuwa Yerahmeeli+ na Ramu+ na Kelubai.

10 Ramu naye akamzaa Aminadabu.+ Naye Aminadabu akamzaa Nashoni+ mkuu wa wana wa Yuda. 11 Naye Nashoni akamzaa Salma.+ Naye Salma akamzaa Boazi.+ 12 Naye Boazi akamzaa Obedi.+ Naye Obedi akamzaa Yese.+ 13 Naye Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu,+ na Abinadabu+ wa pili, na Shimea+ wa tatu, 14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano, 15 Ozemu wa sita, Daudi+ wa saba. 16 Na dada zao walikuwa Seruya na Abigaili;+ na wana wa Seruya walikuwa Abishai+ na Yoabu+ na Asaheli,+ watatu. 17 Abigaili naye alimzaa Amasa;+ na baba ya Amasa alikuwa Yetheri,+ Mwishmaeli.

18 Naye Kalebu mwana wa Hezroni,+ akazaa wana kupitia kwa Azuba mke wake na kupitia kwa Yeriothi; na hawa ndio waliokuwa wana wa mke wake: Yesheri na Shobabu na Ardoni. 19 Mwishowe Azuba akafa. Kwa hiyo Kalebu akamchukua Efrathi,+ ambaye baada ya muda alimzalia Huru.+ 20 Naye Huru akamzaa Uri.+ Naye Uri akamzaa Bezaleli.+

21 Na baadaye Hezroni akalala na binti ya Makiri+ baba ya Gileadi.+ Naye alikuwa na umri wa miaka 60 alipomchukua binti huyo, lakini akamzalia Segubu. 22 Naye Segubu akamzaa Yairi,+ aliyekuja kuwa na majiji 23+ katika nchi ya Gileadi. 23 Baadaye Geshuri+ na Siria+ wakachukua Hawoth-yairi+ kutoka kwao, na Kenathi+ na miji yake ya kandokando, majiji 60. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Makiri baba ya Gileadi.

24 Na baada ya kifo cha Hezroni+ katika Kalebu-efratha, Abiya akiwa mke wa Hezroni, ndipo alipomzalia Ashuri baba ya Tekoa.+

25 Na wana wa Yerahmeeli+ mzaliwa wa kwanza wa Hezroni walikuwa Ramu+ mzaliwa wa kwanza na Buna na Oreni na Ozemu, Ahiya. 26 Na Yerahmeeli akaja kuwa na mke mwingine, ambaye jina lake lilikuwa Atara. Yeye ndiye alikuwa mama ya Onamu. 27 Na wana wa Ramu+ mzaliwa wa kwanza wa Yerahmeeli walikuwa Maazi na Yamini na Ekeri. 28 Na wana wa Onamu+ walikuja kuwa Shamai na Yada. Na wana wa Shamai walikuwa Nadabu na Abishuri. 29 Na jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, ambaye baada ya muda alimzalia Abani na Molidi. 30 Na wana wa Nadabu+ walikuwa Seledi na Apaimu. Lakini Seledi alikufa bila kuwa na wana. 31 Na wana wa Apaimu walikuwa Ishi. Na wana wa Ishi walikuwa Sheshani; na wana wa Sheshani,+ Alai. 32 Na wana wa Yada ndugu ya Shamai walikuwa Yetheri na Yonathani. Lakini Yetheri alikufa bila kuwa na wana. 33 Na wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hao wakawa wana wa Yerahmeeli.

34 Na Sheshani+ hakuwa na wana wowote, ila mabinti. Sasa Sheshani alikuwa na mtumishi Mmisri+ ambaye jina lake lilikuwa Yarha. 35 Basi Sheshani akampa Yarha mtumishi wake binti yake awe mke wake, ambaye baada ya muda alimzalia Atai. 36 Naye Atai akamzaa Nathani. Naye Nathani akamzaa Zabadi.+ 37 Naye Zabadi akamzaa Eflali. Naye Eflali akamzaa Obedi. 38 Naye Obedi akamzaa Yehu. Naye Yehu akamzaa Azaria. 39 Naye Azaria akamzaa Helezi. Naye Helezi akamzaa Eleasa. 40 Naye Eleasa akamzaa Sismai. Naye Sismai akamzaa Shalumu. 41 Naye Shalumu akamzaa Yekamia. Naye Yekamia akamzaa Elishama.

42 Na wana wa Kalebu+ ndugu ya Yerahmeeli walikuwa Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa baba ya Zifu, na wana wa Maresha baba ya Hebroni. 43 Na wana wa Hebroni walikuwa Kora na Tapua na Rekemu na Shema. 44 Naye Shema akamzaa Rahamu baba ya Yorkeamu. Naye Rekemu akamzaa Shamai. 45 Na mwana wa Shamai alikuwa Maoni; na Maoni alikuwa baba ya Beth-suri.+ 46 Na Efa suria wa Kalebu, yeye alimzaa Harani na Mosa na Gazezi. Harani naye akamzaa Gazezi. 47 Na wana wa Yahdai walikuwa Regemu na Yothamu na Geshani na Peleti na Efa na Shaafu. 48 Na Maaka, suria wa Kalebu, yeye alizaa Sheberi na Tirhana. 49 Baada ya muda akamzaa Shaafu baba ya Madmana,+ Sheva baba ya Makbena na baba ya Gibea.+ Na binti ya Kalebu+ alikuwa Aksa.+ 50 Hao wakawa wana wa Kalebu.

Wana wa Huru+ mzaliwa wa kwanza wa Efratha:+ Shobali+ baba ya Kiriath-yearimu,+ 51 Salma baba ya Bethlehemu,+ Harefu baba ya Beth-gaderi. 52 Na Shobali+ baba ya Kiriath-yearimu akaja kuwa na wana: Haroe, nusu ya Menuhothi. 53 Na familia za Kiriath-yearimu zilikuwa Waithri+ na Waputhu na Washumathi na Wamishra. Wasorathi+ na Waeshtaoli+ walitoka kwa hao. 54 Wana wa Salma walikuwa Bethlehemu+ na Wanetofa,+ Atroth-beth-yoabu na nusu ya Wamanahathi, Wazori. 55 Na familia za waandishi waliokaa katika Yabesi+ zilikuwa Watirathi, Washimea, Wasukathi. Hao walikuwa Wakeni+ waliotokana na Hamathi baba ya nyumba ya Rekabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki