Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+

  • 2 Samweli 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.”

  • 2 Samweli 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Abishai+ mwana wa Seruya akaja mara moja kumsaidia,+ akampiga yule Mfilisti na kumuua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakisema: “Usiende tena pamoja nasi vitani,+ usije ukaizima+ taa+ ya Israeli!”

  • 2 Samweli 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Abishai+ mwana wa Seruya,+ akawapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi,+ watu kumi na nane elfu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki