17 Basi Abishai+ mwana wa Seruya akaja mara moja kumsaidia,+ akampiga yule Mfilisti na kumuua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakisema: “Usiende tena pamoja nasi vitani,+ usije ukaizima+ taa+ ya Israeli!”
18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+