36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+
4 Kwa maana, kwa ajili ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa+ katika Yerusalemu kwa kumsimamisha mwana wake baada yake na kuendelea kulisimamisha Yerusalemu,+