Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+

  • Zaburi 132:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hapo nitaifanya pembe ya Daudi ikue.+

      Nimetayarisha taa kwa ajili ya mtiwa-mafuta wangu.+

  • Luka 1:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

  • Luka 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nuru+ ya kuondoa utaji+ kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

  • Yohana 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nuru+ ya kweli ambayo humpa nuru+ mtu wa kila namna,+ ilikuwa karibu kuja ulimwenguni.

  • Yohana 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”

  • Ufunuo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya yale makutaniko. Mimi ndiye mzizi+ na uzao+ wa Daudi, na nyota nyangavu ya asubuhi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki