Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na sasa ujichukulie wajibu, na kuibariki+ nyumba ya mtumishi wako ili iendelee mpaka wakati usio na kipimo mbele zako;+ kwa maana wewe mwenyewe, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeahidi, na kutokana na baraka yako, acha nyumba ya mtumishi wako ibarikiwe mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • 2 Samweli 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na tazama, familia yote wamesimama juu ya mjakazi wako, nao wanaendelea kusema, ‘Mtoe yule aliyempiga ndugu yake, ili tumuue kwa sababu ya nafsi ya ndugu+ yake aliyemuua,+ nasi tumwangamize hata mrithi!’ Nao hakika watazima mng’ao wa makaa yangu ambao umebaki, naye mume wangu hatakuwa na jina wala baki juu ya uso wa nchi.”+

  • 1 Wafalme 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana, kwa ajili ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa+ katika Yerusalemu kwa kumsimamisha mwana wake baada yake na kuendelea kulisimamisha Yerusalemu,+

  • 2 Wafalme 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Yehova hakutaka kuharibu Yuda+ kwa sababu ya Daudi mtumishi wake,+ kama alivyokuwa ameahidi kumpa taa,+ yeye na wanawe sikuzote.

  • Luka 1:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

  • Matendo 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ‘Baada ya mambo hayo nitarudi na kukijenga upya kibanda cha Daudi ambacho kimeanguka chini; nami nitayajenga upya mabomoko yake na kukisimamisha tena,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki