-
2 Samweli 14:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Sasa watu wote wa familia wako dhidi yangu, mimi mtumishi wako, nao wanasema, ‘Mtoe yule aliyemuua ndugu yake, ili tumuue kwa sababu ya uhai wa* ndugu yake ambaye alimuua,+ hata kama tutamwangamiza mrithi wake!’ Watakuwa wamezima kaa langu la mwisho linalowaka,* na mume wangu hatakuwa na jina wala mzao* duniani.”
-