Hesabu 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa nini jina la baba yetu liondolewe kutoka katikati ya familia yake kwa sababu hakuwa na mwana?+ Tupe miliki katikati ya ndugu za baba yetu.”+ Kumbukumbu la Torati 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na itatukia kwamba mzaliwa wa kwanza atakayemzaa ataendeleza jina la ndugu yake aliyekufa,+ ili jina lake lisifutwe kutoka katika Israeli.+
4 Kwa nini jina la baba yetu liondolewe kutoka katikati ya familia yake kwa sababu hakuwa na mwana?+ Tupe miliki katikati ya ndugu za baba yetu.”+
6 Na itatukia kwamba mzaliwa wa kwanza atakayemzaa ataendeleza jina la ndugu yake aliyekufa,+ ili jina lake lisifutwe kutoka katika Israeli.+