-
2 Samweli 18:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Sasa Absalomu, alipokuwa angali hai, alikuwa amechukua na kujisimamishia nguzo,+ ambayo ipo katika Nchi Tambarare ya Chini ya Mfalme,+ kwa maana alisema: “Sina mwana ili kuweka jina langu katika kumbukumbu.”+ Basi akaiita nguzo hiyo kwa jina+ lake mwenyewe, nayo inaendelea kuitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu mpaka leo hii.
-