16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+