Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+ Zaburi 132:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+Wana wao pia milele+Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+
36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+
12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+Wana wao pia milele+Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+