Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 148:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+

      Sifa ya washikamanifu wake wote,+

      Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+

      Msifuni Yah!+

  • Ezekieli 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Katika siku hiyo nitafanya pembe ichipuke kwa ajili ya nyumba ya Israeli,+ nami nitakupa sababu ya kufungua kinywa katikati yao;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”

  • Luka 1:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki