Zaburi 148:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+ Ezekieli 29:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Katika siku hiyo nitafanya pembe ichipuke kwa ajili ya nyumba ya Israeli,+ nami nitakupa sababu ya kufungua kinywa katikati yao;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” Luka 1:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,
14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+
21 “Katika siku hiyo nitafanya pembe ichipuke kwa ajili ya nyumba ya Israeli,+ nami nitakupa sababu ya kufungua kinywa katikati yao;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”