Zaburi 51:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, na uifungue hii midomo yangu,+Ili kinywa changu mwenyewe kipate kutangaza sifa yako.+ Ezekieli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami ninaposema nawe, nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’ Anayesikia na asikie,+ na anayekataa na akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+ Ezekieli 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+ Luka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+
27 Nami ninaposema nawe, nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’ Anayesikia na asikie,+ na anayekataa na akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+
27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+
15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+