Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, na uifungue hii midomo yangu,+

      Ili kinywa changu mwenyewe kipate kutangaza sifa yako.+

  • Ezekieli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami ninaposema nawe, nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’ Anayesikia na asikie,+ na anayekataa na akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+

  • Ezekieli 24:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+

  • Luka 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki