Isaya 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wasiosema kweli,+ wana ambao hawataki kuisikia sheria ya Yehova;+ Yeremia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+ Ezekieli 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, unakaa katikati ya nyumba yenye kuasi,+ ambao wana macho ya kuona lakini kwa kweli hawaoni,+ ambao wana masikio ya kusikia lakini kwa kweli hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+
9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wasiosema kweli,+ wana ambao hawataki kuisikia sheria ya Yehova;+
23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+
2 “Mwana wa binadamu, unakaa katikati ya nyumba yenye kuasi,+ ambao wana macho ya kuona lakini kwa kweli hawaoni,+ ambao wana masikio ya kusikia lakini kwa kweli hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+