Isaya 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+ Isaya 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+ Mathayo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+
9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+
18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+
13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+