Yeremia 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+ Waroma 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+
21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+
8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+