Zaburi 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Zaburi 71:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kinywa changu kimejawa na sifa zako,+Mchana kutwa na uzuri wako.+ Zaburi 109:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitamsifu sana Yehova kwa kinywa changu,+Na katikati ya watu wengi nitamsifu.+ Zaburi 145:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kinywa changu kitasema sifa za Yehova;+Na wote wenye mwili na walibariki jina lake takatifu mpaka wakati usio na kipimo, hata milele.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
21 Kinywa changu kitasema sifa za Yehova;+Na wote wenye mwili na walibariki jina lake takatifu mpaka wakati usio na kipimo, hata milele.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+